![]() | |
Bscn two team 2016/2017 |
![]() |
kreti tatu za soda kwa ajili ya zawadi kwa nafasi ya pili na tatu (18/08/2017) |
![]() | ||
M/kiti wa sports and affair kulia (Mohamed Bakari) wakati akifungua ligi unsata(07/08/2017) |
![]() |
TIMU YA MWAKA WA NNE BSCN WAKIJIANDAA KUPAMBANA KWENYE FAINALI NA DIPLOMA MWK 2 |
![]() |
Mwaka wa nne BSCN baada ya kuwa mabingwa wa ligi ya UNSATA 2017 na kupewa zawadi ya mbuzi ( mshindi wa kwanza) |
![]() |
pichani GODLOVE ALOYCE akiwa amembeba mbuzi kwa ajili ya kitoweo baada ya kukabidhiwa na Uongozi UNSATA (2017) |