Uongozi wa UNSATA UDOM unapemda kuwatakia wanfunzi wote wa uuguzi na ukunga UDOM CHAS mtihani mwema wa kuumaliza mwaka wa masomo 2017/2018.Pia kwa nafasi ya pekee uongozi unawatakia kila aina ya mafanikio wale wanaohitimu mwaka huu wakapate kuiwakilisha UDOM CHAS vema
IMETOLEWA NA
MSAFIRI, NDIMILA
KATIBU MKUU UNSATA -UDOM
No comments:
Post a Comment